Spika Wa Baraza La Wawakilishi Mhe Zubeir Ali Maulid akitia
saini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha aliekuwa Makamo Wa Kwanza Wa Rais
Wa Zanzibar Mhe Maalim Seif Sharif Hamad kilichotokea tarehe 17 Febuari 2021
TANZANIA NA SOMALIA WASAINI MKATABA MASUALA YA KIUHAMIAJI
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya
Shirikisho ya Somalia wamesaini Hati ya Makubaliano kuhusu masuala ya
kiuhamiaji.
...
6 hours ago
0 Comments