Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Mwigulu Nchemba, wakati Mhe. Mwigulu alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Chamwino Jijini Dodoma leo Mei 04,2021.
SALAMU ZA MWAKA MPYA 2026 KUTOKA KWA MWENYEKITI WA TANZANIA BLOGGERS
NETWORK (TBN)
-
Ndugu Wasomaji na Watumiaji wa Blogu Tanzania.
Tunapouaga mwaka 2025, nachukua fursa hii, kwa niaba ya wanachama wote wa
Tanzania Bloggers Network (TBN),...
1 hour ago
0 Comments