Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam, leo Julai 13,2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makala alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam, leo Julai 13,2021. (Picha na Ikulu)
ULEGA AAGIZA UCHUNGUZI BILIONI 9.15 ZA MKANDARASI WA KICHINA, ATOA SIKU 28
KUSITISHA MKATABA WA BARABARA YA KYERWA–OMURUSHAKA
-
Na Diana Byera, Kagera.
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza kufanyika uchunguzi wa kina
kuhusu matumizi ya shilingi bilioni 9.15 zilizolipwa kwa mka...
40 minutes ago


0 Comments