Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Waziri wa Nchi anaeshuhulikia masuala ya Uhamiaji na Wamisri nje ya nchi, wa Misri Mhe. Nabila Makram, katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Cairo Misri alipokua akiondoka Misri na kurejea Tanzania baada ya kukamilisha ziara yake ya siku tatu nchini Misri leo tarehe 12 Novemba 2021.
TRA YAZINDUA DAWATI MAALUM LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA MASUALA YA FORODHA
KWA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua dawati maalum la uwezeshaji
biashara za Forodha kwa wafanyabiashara wa Kariakoo pekee ili kuharakisha
upatikanaj...
12 hours ago
0 Comments