Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui akimsikiliza Mjumbe kutoka Shirika la UNFPA Mark Schreiner alipofika ofisini kwake Mnazi Mmoja pamoja na Wajumbe wengine kutoka mashirika ya UNICEF na WHO Kuzungumzia maswala ya Afya kwa Vijana ,Elimu Bora na Uzazi salama Zanzibar.
Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na Wageni wake kutoka Mashirika ya UNICEF,UNFPA naWHO walipofika Ofisini kwake Mnazi Mmoja kuzungumzia maswala ya Afya kwa Vijana Elimu bora na Uzazi salama Zanzibar.
Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui katikati akiwa katika Picha ya Pamoja na Wageni wake kutoka Mashirika ya WHO,UNICEF na UNFPA walipofika Ofisini kwake Mnazi Mmoja Zanzibar
WAZIRI MKENDA AWATAKA WATHIBITI UBORA KURIPOTI CHANGAMOTO ZA SHULE
-
NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Adolf Mkenda, amewataka Wathibiti
Ubora wa Shule kuhakikisha wanatoa taarifa kwa wak...
1 hour ago
0 Comments