RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji Mhe. Jestas Abuok Nyamanga, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 10-8-2022.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji Mhe. Jestas Abouk Nyamanga, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 10-8-2022.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji Mhe. Jestas Abouk Nyamanga, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 10-8-2022.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji Mhe. Jestas Abouk Nyamanga, baada ya kumaliza mazungumo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 10-8-2022.(Picha na Ikulu)
BODI YA MAJI BONDE LA RUFIJI YABORESHA UPATIKANAJI WA MAJI SHULE YA MSINGI
JAMHURI ILONGO, MBARALI
-
Bodi ya Maji Bonde la Rufiji kupitia Mradi wa Kuimarisha Mbinu za Asili za
Kijamii za Usimamizi wa Vyanzo vya Maji na Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi
(NBS...
1 hour ago
0 Comments