Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza aliyefariki tarehe 08 Septemba, 2022. Rais Samia amesaini kitabu hicho katika jengo la Lancaster (Lancaster House), London, Uingereza tarehe 18 Septemba, 2022. Picha na Jonathan Hordle/PA Media Assignments
Bi.Fauzia Malik na Bi.Angelic wateuliwa Bodi ya Wakurugenzi Equity Bank
Tanzania
-
Equity Bank Tanzania imewateua Bi. Malik na Bi. Tarimo kwenye Bodi ya
wakurugenzi na inatarajia kufaidika na ujuzi wao mkubwa huku Benki
ikiendelea kuimari...
56 minutes ago

0 Comments