Beki wa Timu ya Kundemba akijaribu kumzuia mshambuliaji wa Timu ya Zimamoto wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ,mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Unguja.Timu ya Zimamoto imetoka na ushindi wa bao 1-0.
MUNGU ANAVYOMPA KIBALI NAIBU SPIKA DANIEL SILLO KUONGOZA HARAMBEE KUCHANGIA
TAASISI ZA DINI
-
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo
la Babati Vijijini, Daniel Sillo, akizungumza wakati akiongoza harambee ya
kuc...
2 hours ago
0 Comments