6/recent/ticker-posts

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali akutana na Balozi wa India Nchini

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Lela Muhamed Mussa amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa India Nchini Tanzania bwana Shabu K George ofisini kwake Mazizini Unguja kwa lengo la kufanya mazungumzo juu ya ufunguzi wa Chuo cha Teklonogia kwa upande wa Zanzibar

 

Post a Comment

0 Comments