Mkutano wa kumi wa baraza la kumi la wawakilishi umeanza leo
tarehe 15/02/2023, pamoja na maswali na majibu pia kumewasilishwa hotuba
ya ripoti ya kamati ya kusimamia ofisi za viongozi wakuu wa kitaifa ya mwaka
2022/2023 pamoja na kuchangiwa na wajumbe wa baraza hilo.
Airtel Tanzania Inathibitisha Dhamira yake ya Kuunganisha na Kukuza
Ujumuishaji wa Kifedha Wakati wa Iftari ya Ramadan
-
Dar es Salaam, Machi 9, 2026.
KAMPUNI ya Airtel Tanzania Jumatatu iliandaa hafla maalumu ya Iftari ya
Ramadan jijini Dar es Salaam, ikiwakutanisha viong...
18 hours ago
0 Comments