Mkutano wa kumi wa baraza la kumi la wawakilishi umeanza leo
tarehe 15/02/2023, pamoja na maswali na majibu pia kumewasilishwa hotuba
ya ripoti ya kamati ya kusimamia ofisi za viongozi wakuu wa kitaifa ya mwaka
2022/2023 pamoja na kuchangiwa na wajumbe wa baraza hilo.
Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali,
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari aliy...
9 hours ago
0 Comments