Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na wakazi na wanachama wa CCM wa Kata ya Magara mara baada ya kuwasili Wilaya ya Babati Vijijini tayari kwa ziara ya kukagua Uhai wa Chama na kusimamia na kuhimiza Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 – 2025.
TBN : Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network, Beda Msimbe Atoa Salamu za
Mwaka Mpya 2026
-
Ndugu Wasomaji na Watumiaji wa Blogu Tanzania.
Tunapouaga mwaka 2025, nachukua fursa hii, kwa niaba ya wanachama wote wa
Tanzania Bloggers Network (TBN)...
1 hour ago



0 Comments