6/recent/ticker-posts

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Viongozi mbalimbali wa Serikali kinachohusu kuanza kwa mchakato wa Katiba Mpya Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza `Kikao cha Viongozi mbalimbali wa Serikali kinachohusu kuanza kwa Mchakato wa Katiba mpya, kilichofanyika  Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 06 Mei 2023. 

 

Post a Comment

0 Comments