Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akikata utepe ikiwa ishara ya uzinduzi ya nyumba ya kupumzikia wageni ikiwa ni mradi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Bukombe mkoani Geita.
PROF. MKUMBO APONGEZA PROGRAMU YA GO GREEN NA IMBEJU, BIASHARA CHANGA ZA
VIJANA ZIKIWEZESHWA HADI SHILINGI MILIONI 500
-
Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (katikati) akiwa na
viongozi wengine wa wa Serikali, Bunge, na Benki ya CRDB wakipata maelezo
kutoka m...
24 minutes ago

0 Comments