Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kulia) akimsikiliza Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mhe. Agnes Marwa akimuelezea changamoto mbalimbali za masuala ya uhifadhi na namna ya kuzitatua Bungeni jijini Dodoma leo.
Airtel Tanzania yazindua Maduka 17 ya Smart Shops Dar es Salaam, kukuza
Huduma za Kidijitali
-
Airtel Tanzania, kampuni inayoongoza huduma za mawasiliano nchini,
imezindua maduka mapya 17 ya Airtel Smart Shops jijini Dar es Salaam.
Maduka haya ni ...
29 minutes ago
.jpg)
0 Comments