Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mke wa aliyekuwa Mfalme wa Qatar Sheikh Hamad Bin Khalifa Al- Thani, Sheikha Moza Bint Nasser Al-Missned wakati alipomtembelea Jijini Doha nchini Qatar tarehe 03 Oktoba, 2023. Mazungumzo yao yalilenga zaidi masuala ya Elimu na jitihada za pamoja za kupunguza idadi ya wanafunzi wanaokatisha masomo kwa sababu mbalimbali. Sheikha Moza pia ni Mwenyekiti wa Wakfu wa Qatar.
SHINA LA MAKUNDUCHI MMEDHIHIRISHA KWA VITENDO KUWA MAENDELEO HAYANA
CHAMA-.DKT.MIGIRO
-
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM),Dkt.Asha Rose Migiro,amezindua
Shina la wakereketwa wa CCM Makunduchi lililopo Mtaa wa Uhuru Wilaya ya
Dodoma ...
33 minutes ago

0 Comments