Viongozi kutoka Wizara ya Elimu Zanzibar wakiongozwa na Naibu Waziri Elimu Mhe. Ali Abdulghulam Hussein na watendaji wa Shirika la Good Neighbors Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na wenyeji wao kutoka makao makuu ya Shirika la KOICA na Good Neighbors katika ukumbi wa Korea Development History Hall katika mji wa Pangyo, Seoul yaliyopo makao makuu ya KOICA Jamhuri ya Korea mara baada ya hafla ya ufunguzi wa mafunzo kwa viongozi hao kuhusu mfumo na mageuzi ya Elimu yaliyoratibiwa na shirika la KOICA.
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
7 hours ago

0 Comments