Mkurugenzi Mkuu wa City College of Health Shaban Mwanga akimkabidhi fedha taslimu mchezaji Mwenye Nidhamu beki wa Timu ya Yanga Mkude katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Dhidi ya Timu ya KVZ mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Katima mchezo huo timu hizo zimetoka sara ya bila kufungana.
MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAADHIMISHO YA KILELE CHA WIKI YA MAJI 2026
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi ametoa wito kwa Mamlaka zinazohusika pamoja na Watanzania kwa
ujumla kuw...
9 hours ago


0 Comments