Afisa wa Bima NIC Insurance Bi.Zakia Mbonja akimkabidhi zawadi fedha taslim shilindi Laki Tano mchezaji wa Timu ya KVZ Yussuf Othman baada ya kuibuka mchezaji bora wa mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar, dhidi ya Timu ya Yanga katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bila ya kufungana.
RAS ARUSHA AWEKA MKAZO KUIMARISHA UTALII NA KUONDOA URASIMU KWA WAWEKEZAJI
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Dk. Toba Alnason Nguvila, ameweka mkazo
katika kuimarisha sekta ya utalii mkoani humo kwa kuwat...
5 hours ago


0 Comments