Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele (kulia) akishiriki Matembezi ya ufunguzi wa wiki ya sheria Kitaifa Mkoani Dodoma Januari 27,2024. Matembezi hayo yaliongozwa na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Akson na viongozi wengine mbalimbali wa Makama. Maadhimisho ya Wiki ya sharia yalianza Januari 24,2024 na yanataraji kufikia tamati Februari 1, mwaka huu. (Picha na NEC).
TRA MOROGORO YATUMIA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE KUTOA ELIMU YA KODI
-
NA FARIDA MANGUBE , MOROGORO
Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, mamlaka ya mapatao Tanzania
(TRA) Mkoa wa Morogoro imetumia maadhimisho hayo kut...
4 hours ago
0 Comments