MAPOKEZI ya Ndege Mpya ya Shirika la Ndege
Tanzania (ATCL) aina ya Boeing 787-8
Dreamliner ikiwasili katika Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, ikitokea Nchini Marekani
ikipokelewa kwa heshima na kumwagiwa
maji na gari za Zimamoto kiwanjani hapo leo 20-8-2024, wakati ikiwasili na kupokelewa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimuwakilisha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Aongoza Utoaji wa Elimu ya Hifadhi ya Jamii katika
Soko la Tegeta Nyuki
-
Na Mwandishi Wetu,
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha
Mshomba, amesema hakuna sababu kwa mwananchi aliyejiajiri ku...
2 hours ago






















0 Comments