6/recent/ticker-posts

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Ameipokea Ndege Mpya ya ATCL Boeng 787-8 Dreamliner Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar

MAPOKEZI ya Ndege Mpya ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL)  aina ya Boeing 787-8 Dreamliner ikiwasili  katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, ikitokea Nchini Marekani ikipokelewa kwa heshima  na kumwagiwa maji na gari za Zimamoto kiwanjani hapo leo 20-8-2024, wakati ikiwasili  na kupokelewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan




















 

Post a Comment

0 Comments