Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania Mjini New York, nchini Marekani na Mwakilishi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, Balozi Hussein Othman Katanga alipowasili nchini humo kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79). (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
CEOrt, TWCC kushirikiana ushiriki wa wanawake katika kukuza uchumi wa
biashara
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Jukwaa la Watendaji Wakuu nchini (CEO Roundtable of
Tanzania-CEOrt) B. Santina Benson (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na
Mkuru...
7 hours ago
0 Comments