Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania Mjini New York, nchini Marekani na Mwakilishi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, Balozi Hussein Othman Katanga alipowasili nchini humo kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79). (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Serikali Yalenga Kujitosheleza kwa Mbegu na Mbolea Kupitia Uwekezaji
-
NAIBU Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) amefanya kikao na
wawakilishi kutoka Chama cha Wamiliki wa Viwanda Vidogo na Wazalishaji
Wadogo Tanzania...
11 minutes ago
0 Comments