Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania Mjini New York, nchini Marekani na Mwakilishi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, Balozi Hussein Othman Katanga alipowasili nchini humo kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA79). (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
YAS YAENDELEA KUWA KINARA, MTANDAO WENYE KASI ZAIDI TANZANIA, KWA MIAKA
MITATU MFULULIZO
-
Kampuni ya kimataifa ya uchambuzi wa mitandao, Ookla, imethibitisha tena
ubora wa mtandao wa Yas baada ya majaribio mengi ya spidi kwa mujibu wa
matokeo ya...
4 hours ago
0 Comments