MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akizindua Kampeni ya “Mazazi Mshike Mwanao”wakati wa hafla ya Uzinduzi wa
Kongamano la Jumuiya ya Wazazi Tanzania la kumpongeza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kutimiza Miaka
Minne ya Uongozi wa Serikali ya Awamu Nane, lililofanyika katika viwanja vya
Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 22-10-2024.
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
9 hours ago















0 Comments