Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza kwenye Ufunguzi wa Kongamano la Bima ya Afya kwa Wote na Jukwaa la Kitaifa la Majadiliano ya Ugharamiaji wa Huduma za Afya, kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa AICC jijini Arusha Oktoba 30, 2024 wakati alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kwenye kongamano hilo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
WAHARIRI WATEMBELEA MRADI WA REA USAMBAZAJI WA UMEME VITONGOJI SITA
WILAYANI LUDEWA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limetembelea mradi wa kusambaza umeme
katika vitongoji sita vilivyopo ukanda wa Ziwa Nyasa...
2 minutes ago
0 Comments