Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (Kulia), akiagana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani (WFP), Bw. Ronald Tran Ba Huy, baada ya kukutana na kufanya mazungumzo, Jijini Dodoma, ambapo wamekubaliana kuendeleza ushirikiano wa kimaendeleo katika kukuza uchumi jumuishi katika nyanja mbalimbali ikiwemo kushiriki katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, inayolenga, pamoja ma mambo mengine, kukuza, ajira, kupambana na umasikini, kukuza mauzo ya budhaa nje ya nchi na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kupitia za upatikanaji wa nishati safi ya kupikia.
WAANDISHI WA HABARI GEITA WAPEWA MBINU ZA KUTHIBITISHA NA KUHAKIKI TAARIFA
-
Mkurugenzi wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC),
Kenneth Simbaya akizungumza wakati akifungua mafunzo maalum kuhusu
Uthibitishaji na U...
2 hours ago
.jpg)
0 Comments