Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (Kulia), akiagana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani (WFP), Bw. Ronald Tran Ba Huy, baada ya kukutana na kufanya mazungumzo, Jijini Dodoma, ambapo wamekubaliana kuendeleza ushirikiano wa kimaendeleo katika kukuza uchumi jumuishi katika nyanja mbalimbali ikiwemo kushiriki katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, inayolenga, pamoja ma mambo mengine, kukuza, ajira, kupambana na umasikini, kukuza mauzo ya budhaa nje ya nchi na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kupitia za upatikanaji wa nishati safi ya kupikia.
CCM YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA ASKOFU MKUU RUWA’ICHI KUFUATIA KIFO CHA
KADINALI PENGO
-
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa salamu za rambirambi kwa Askofu Mkuu wa
Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi
OFMCap, ...
12 minutes ago
.jpg)
0 Comments