Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono wananchi wa Kiembe samaki mara baada ya kuwasili Zanzibar tarehe 14 Septemba, 2025 kwa ajili ya kuendelea na Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho.
Piga Mkwanja Mrefu na Meridianbet Leo
-
JUMAPILI ya kubadilisha maisha yako na Meridianbet imefika leo. Suka jamvi
lako la ushindi siku ya leo na uingie kwenye wale washindi wakubwa ambao
hutan...
6 hours ago





.jpeg)



0 Comments