Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono wananchi wa Kiembe samaki mara baada ya kuwasili Zanzibar tarehe 14 Septemba, 2025 kwa ajili ya kuendelea na Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho.
Watu 600 kushiriki semina ya AAT Moro
-
Na MWANDISHI WETU
ZAIDI ya washiriki 600 kutoka ndani na nje ya nchi wanataraji kushiriki
semina maalumu ya uendeleaji na upangaji wa miji inayo kua.
Semi...
7 hours ago





.jpeg)



0 Comments