Mfanyabiashara wa Soko la Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba akijipiga SELFIE na Mgombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya CCM, Dk.Hussein Ali Mwinyi alipotembelea sokoni hapo kuzungumza na Wafanyabiashara na Wajasiriamali akiendelea na kampeni yake kuomba kura kwa Wananchi, leo tarehe 24 Septemba
Makubaliano Mapya Yafungua Mlango wa Tafiti na Ubunifu Tanzania
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha.
Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela kwa
kushirikiana na Taasisi ya Global Education Link Ltd wamesaini ...
2 hours ago

0 Comments