Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi na WanaCCM, katika mkutano wake wa Kampeni uliyofanyika katika viwanja vya Mpira Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja, na kuombea Kura kwa Wananchi na kumuombea Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi, Wabunge, Wawakilishi na Madiwani.
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
2 hours ago




















0 Comments