MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akisalimiana na Mbunge na Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman na Wanu Hafidh Ameir, alipowasili katika viwanja vya mpira Mtende kwa ajili ya kuzindua Kampeni za Majimbo ya Paje na Makunduchi ya Wilaya ya Kusini Kichana.
Makubaliano Mapya Yafungua Mlango wa Tafiti na Ubunifu Tanzania
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha.
Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela kwa
kushirikiana na Taasisi ya Global Education Link Ltd wamesaini ...
39 minutes ago


0 Comments