MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akisalimiana na Mbunge na Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman na Wanu Hafidh Ameir, alipowasili katika viwanja vya mpira Mtende kwa ajili ya kuzindua Kampeni za Majimbo ya Paje na Makunduchi ya Wilaya ya Kusini Kichana.
Dar City, Fox Divas watwaa ubingwa wa betPawa NBL 2025
-
Na Mwandishi wetu
Timu ya Dar City kwa upande wa wanaume na Fox Divas kwa upande wa wanawake
zimetwaa ubingwa wa mashindano ya klabu bingwa ya mpira wa k...
2 hours ago


0 Comments