Mchezaji wa Timu ya Malindi akiwa anamiliki mpira huku wabeki wa Timu ya KMKM wakijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar , mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung. timu hizo zimetoka sare ya 0-0.
KAMPASI YA TPSC TABORA YATOA MISAADA NA KUFANYA USAFI - KITUO CHA WAZEE
IPULI-TABORA
-
Tarehe 21 Februari 2026,
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa
Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Tabora imefanya zia...
6 hours ago








0 Comments