6/recent/ticker-posts

Mchezo wa Ligi ya Mpira wa Kikapu Kanda ya Unguja Kati ya Miembeni na Kwerekwe Yankees Timu ya Miembeni Imeshinda Mchezo huo kwa Vikapu 92-47

Mchezaji wa Timu ya Kwerekwe Yankees akiwa na mpira akimpita mchezaji wa Timu ya Miembeni wakati wa mchezo wao wa Ligi Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar.Timu ya Miembeni imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 92-47.














 

Post a Comment

0 Comments