Beki wa Timu ya Chipukizi akiokoa mpira huku mshambuliaji wa Timu ya JKU akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026, mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya JKU imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.
Jeshi : Dkt. Samia: Tumeweka heshima, ujenzi Makao Makuu Ngome
-
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema makao makuu ya ulinzi ni
alama ya ukomavu wa kielelezo cha uwezo wa Taifa katika kupanga na
kutekeleza...
2 hours ago




0 Comments