6/recent/ticker-posts

Timu ya KMKM Yashinda Bao 6-1 Dhidi ya Timu ya Junguni Katika Mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026 Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Maon Zedong

Kipa wa Timu ya Junguni akiokoa moja ya hatari golini kwake, huku mchezaji wa Timu ya KMKM akijaribu kufunga  wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026, mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong. Timu ya KMKM imeshinda mchezo huo kwa bao 6-1.




 

Post a Comment

0 Comments