Golikipa wa Timu ya Kipanga akiokoa moja ya hatari golini kwake wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026, dhidi ya Timu ya Malindi mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong. katika mchezo huo timu ya Kipanga imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1
Air Tanzania Yatua Victoria Falls kwa Mara ya Kwanza, Yaongeza Safari
Zimbabwe
-
NDEGE ya Shirika la Ndege Tanzania (Air Tanzania) imefanya first touch down
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Victoria Falls, Zimbabwe, leo mchana
t...
2 hours ago










0 Comments