Golikipa wa Timu ya Kipanga akiokoa moja ya hatari golini kwake wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026, dhidi ya Timu ya Malindi mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong. katika mchezo huo timu ya Kipanga imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1
HESLB INAVYOSHIRIKIANA NA WADAU KUWAWEZESHA WANAFUNZI KUJITEGEMEA KIUCHUMI
-
Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga
Elimu ni haki muhimu ya binadamu. Elimu ni nyenzo muhimu ya kumsaidia
binadamu kumudu maisha yake. Kwa kutambua hilo, nd...
45 minutes ago










0 Comments