Mchezaji wa Timu ya Beit El Raas akiwapita wachezaji wa Timu ya JKU wakati wa mchezo wao wa Ligi Kanda ya Unguja mchezo ya Kikapu uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Beit El Raas ilimeshinda mchezo huo kwa Vikapu 63-53.
Serikali Yatajivunia Mafanikio ya Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam
Katika Siku 100 za Uongozi wa Rais Samia
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
MSEMAJI wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Gerson Msigwa, amesema Serikali ya Awam...
8 hours ago









0 Comments