6/recent/ticker-posts

Ligi ya Mchezo wa Mpira wa Kikapu Kanda ya Unguja Kati ya JKU na Zenj Bulls Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya JKU Imeshinda kwa Vikapu 90-36.

Mchezaji wa Timu ya Zenj Bulls wakiwa na mpira akijaribu kumpita mchezaji wa Timu ya JKU wakati wa mchezo wao wa Ligi Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong. Katika mchezo huo Timu ya Zenj Bulls katika kota ya kwaza wameonesha kiwango cha mchezo kizuri dhidi ya wapinzani wao JKU. Timu ya JKU imeshinda mchezo huo kwa vikapu  90-36.










 

Post a Comment

0 Comments