Mchezaji wa Timu ya Kikapu ya Mpendae akiwa na mpira akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Millenium wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Mpendae iumeshinda mchezo huo kwa Vikapu 60-48.
Kitaifa : Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akutana na waziri Mkuu Mstaafu
Kassim Majaliwa
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim
Majaliwa nyumbani kwake Nandagala, Ruangwa mkoani Lindi.
Mheshimiwa Dkt. Mwigu...
7 hours ago










0 Comments