Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi
akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera leo tarehe 14 Desemba
2025. Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya uwekaji jiwe
la msingi la ujenzi wa Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mkoa wa Kagera,
itakayofanyika tarehe 15 Desemba 2025. .jpg)
KARIAKOO, ZIMAMTOTO WATOA ELIMU YA ZIMAMOTO NA UOKOJI KWA WAFANYABIASHARA
ZAIDI YA 400
-
Shirika la Masoko ya Kariakoo kwa kushirikiana na Jeshi la Zimamoto na
Ukoaji Mkoa wa Kizimamoto Ilala imetoa mafunzo ya zimamoto na uokoaji kwa
watumish...
8 minutes ago
.jpg)


0 Comments