Mshambuliaji wa Timu ya Mlandege Aimar Hafidh Abubakar akimpita beki wa Timu ya Singida Big Star katika mchezo wa ufunguzi wa Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Singida Big Star imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1.
DC Ilala Aagiza Polisi Kuwakamata Wauaji wa Salehe Iddi Salehe
-
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ameliagiza Jeshi la Polisi Wilaya
ya Kipolisi Ilala, kupitia Kamanda wake ACP Yustino Mgonja, kuhakikisha
lina...
4 hours ago
0 Comments