Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, Ikulu ndogo Tunguu, Zanzibar tarehe 23 Disemba, 2025.
TBS yateketeza Tani 45 ya bidhaa za chakula zilizokwisha muda Karatu
-
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Kaskazini limeteketeza jumla ya
tani 45 za bidhaa za vyakula zilizokwisha muda wake wa matumizi katika
dampo la ...
35 minutes ago

0 Comments