Meneja
Muandamizi Mahusiano ya Benki ya NMB na Serikali CPA Jaha Haji Khamis akimkabidhi zawadi ya Mchezaji
Mwenye Nidhamu Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 kutoka Timu ya Mlandege Jamal
Saleh Ali, wakati wa mchezo wao na Timu ya URA, uliyofanyika katika Uwanja wa New
Amaan Complex Zanzibar. Timu ya URA imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
AIRTEL TANZANIA YAIMARISHA HUDUMA ZA KIDIJITALI,YAFUNGUA MADUKA MATANO YA
SMART SHOP MWANZA.
-
Airtel Tanzania imezindua rasmi maduka matano mapya ya Airtel Smart Shop
jijini Mwanza, hatua inayolenga kupanua huduma za kidijitali na kuimarisha
ujum...
1 day ago


0 Comments