Meneja
Muandamizi Mahusiano ya Benki ya NMB na Serikali CPA Jaha Haji Khamis akimkabidhi zawadi ya Mchezaji
Mwenye Nidhamu Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 kutoka Timu ya Mlandege Jamal
Saleh Ali, wakati wa mchezo wao na Timu ya URA, uliyofanyika katika Uwanja wa New
Amaan Complex Zanzibar. Timu ya URA imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
RC TANGA AWATAKA WALIOPANGA KUCHOMA MATAIRI MKESHA WA MWAKA MPYA WASITHUBUTU
-
Na Oscar Assenga, TANGA
MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amewataka wananchi wa mkoa
wa Tanga ambao wamepanga kutumia matairi kuchoma moto...
4 hours ago


0 Comments