6/recent/ticker-posts

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi wa Angola, Uholanzi, Iran, Slovakia pamoja na Namibia wanaowakilisha nchi zao Tanzania, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Angola hapa nchini Mhe. Domingos De Almeida Da Silva Coelho, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 11 Desemba 2025.

Balozi Mteule wa Jamhuri ya Angola Mhe. Domingos De Almeida Da Silva Coelho akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino mkoani Dodoma kwa ajili ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho tarehe 11 Desemba 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Angola hapa nchini Mhe. Domingos De Almeida Da Silva Coelho, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 11 Desemba 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Slovakia hapa nchini Mhe. Ivan Lancaric, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 11 Desemba 2025.

Balozi Mteule wa Jamhuri ya Slovakia hapa nchini Mhe. Ivan Lancaric akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino mkoani Dodoma kwa ajili ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho tarehe 11 Desemba 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Slovakia hapa nchini Mhe. Ivan Lancaric, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 11 Desemba 2025. Balozi Mhe. Ivan Lancaric anakuwa Balozi wa kwanza kuwakilisha nchi hiyo hapa Tanzania kufuatia kufunguliwa rasmi kwa Ubalozi wake Desemba 2025. Awali nchi hiyo ilikuwa inawakilishwa kutoka Ubalozi wa Slovakia ulipo Jijini Nairobi.

 







 

Post a Comment

0 Comments