Kikosi cha Timu ya Singida Big Star kinachoshiriki Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2025, katika mashindano hayo imetoka sare ya bao 1-1, dhidi ya Timu ya Azam FC mchezo uliofanyika usiku 31-12-2025 katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.
SOUWASA YANG’ARA TENA KITAIFA KWA HUDUMA BORA KWA WATEJA
-
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Songea (SOUWASA) imeandika
historia nyingine baada ya kutwaa kwa mara ya tatu mfululizo Tuzo ya Utoaji
Huduma Bo...
5 minutes ago


0 Comments