Kikosi cha Timu ya Singida Big Star kinachoshiriki Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2025, katika mashindano hayo imetoka sare ya bao 1-1, dhidi ya Timu ya Azam FC mchezo uliofanyika usiku 31-12-2025 katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.
RC TANGA AWATAKA WALIOPANGA KUCHOMA MATAIRI MKESHA WA MWAKA MPYA WASITHUBUTU
-
Na Oscar Assenga, TANGA
MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amewataka wananchi wa mkoa
wa Tanga ambao wamepanga kutumia matairi kuchoma moto...
5 hours ago


0 Comments