Mchezaji wa Timu ya Cavariuos akiruka juu kufunga wakati wa mchezo wao Ligi Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong Timu Cavariuos imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 67-39, dhidi ya Timu ya Zenj Bulls.
TRA YATOA ELIMU MFUMO MPYA WA IDRAS
-
Farida Mangube, Morogoro
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kuanza rasmi matumizi ya Mfumo
Jumuishi wa Usimamizi wa Ukusanyaji wa Mapato ya Nda...
0 Comments