Mchezaji wa Timu ya Singida Black Stars akimiliki mpira huku mchezaji wa Timu ya As Otoho akijaribu kumxzia wakati wa mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika, uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Singida Black Stars imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
WAANDISHI WA HABARI GEITA WAPEWA MBINU ZA KUTHIBITISHA NA KUHAKIKI TAARIFA
-
Mkurugenzi wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC),
Kenneth Simbaya akizungumza wakati akifungua mafunzo maalum kuhusu
Uthibitishaji na U...
2 hours ago
















0 Comments