6/recent/ticker-posts

Mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika Kati ya Singida Black Stars na As Otoho Mchezo Uliyofanbyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Singida Black Stars Imeshinda Bao 1-0

Mchezaji wa Timu ya Singida Black Stars  akimiliki mpira huku mchezaji wa Timu ya As Otoho akijaribu kumxzia wakati wa mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika, uliyofanyika katika Uwanja wa New  Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Singida Black Stars imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0. 















Post a Comment

0 Comments