Mchezaji wa Timu ya Singida Black Stars akimiliki mpira huku mchezaji wa Timu ya As Otoho akijaribu kumxzia wakati wa mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika, uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Singida Black Stars imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
BoT YASHIRIKISHA WADAU MPANGO WA KUANZISHA KAMPUNI YA UDHAMINI WA MIKOPO
-
Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikiongozwa na Naibu Gavana wa Sera za Uchumi
na Fedha, Dkt. Yamungu Kayandabila, imefanya kikao na wadau mbalimbali
kujadilian...
3 hours ago
















0 Comments