6/recent/ticker-posts

Mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika Kati ya Azam na Nairobi United Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Azam Imeshinda Mchezo Huo Kwa Bao 1-0

Mchezaji wa Timu ya Azam Feisal Salum Feitoto akijiandaa kumpita beki wa Timu ya Nairobi United , katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Azam imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0. 













Post a Comment

0 Comments