6/recent/ticker-posts

Wabunge kutoka Zanzibar wachagua viongozi



 Wabunge kutoka Zanzibar wamefanya kikao cha kuchagua vongozi wa Wabunge wa Zanzibar kwa lengo la kuimarisha uratibu, mshikamano na ufanisi wa uwakilishi Bungeni. Kikao kilifanyika Dodoma

Viongozi waliochaguliwa ni:
• Mwenyekiti – Mhe. Hamad Yussuf Masauni
• Makamu Mwenyekiti – Mhe. Ussi Salum Pondeza
• Katibu Mkuu – Mhe. Zainab Abdallah Issa
• Mweka Hazina – Mhe. Amina Ali Mzee

Post a Comment

0 Comments