Wadau mlio ughaibuni mmeona hygiene - jinsi tunavyohakikisha hatupatwi na vijidudu vinavyosababisha maradhi licha ya Nduaro kushughulikiwa chini ambako hali yake ya usafi kama unayoiona. Kwani hata pweza kwanza lazime apate kichapo cha kupigwa na chini ili aregee na chini kwenyewe ni sehemu yoyote. Kisha huoshwa tayari kwa mapishi.
MARRY CHATANDA :SERIKALI CHINI YA DK SAMIA IMEITEKELEZA VEMA ILANI 2020-2025
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MRATIBU wa Uchaguzi Mkuu Mkoa wa Dar es Salaam Marry Chatanda amesema
Serikali inayoongozwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan i...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment