Habari za Punde

SAMAKI WA NDUARO ALIYEVULIWA NUNGWI



Wachukuzi wa samaki katika marikiti kuu ya samaki darajani wakimshusha samaki aina ya nduaro aliyevuliwa kijiji cha nungwi ambaye ameuzwa shillingi milioni 1,500,000 katika soko la nungwi. Mchuuzi wa samaki soko la marikiti kuu darajani akimkata mapande samaki aina ya nduaro kwa ajili ya kuuzwa sokoni hapo samaki huyu anakadiriwa kufika zaidi ya tani mbili.

Wadau mlio ughaibuni mmeona hygiene - jinsi tunavyohakikisha hatupatwi na vijidudu vinavyosababisha maradhi licha ya Nduaro kushughulikiwa chini ambako hali yake ya usafi kama unayoiona. Kwani hata pweza kwanza lazime apate kichapo cha kupigwa na chini ili aregee na chini kwenyewe ni sehemu yoyote. Kisha huoshwa tayari kwa mapishi.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.