Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na wanamichezo wa Timu za Ikulu ya Zanzibar na Ikulu ya Dar es Salaam,wakati timu hizo zilipofika Ikulu Mjini Zanzibar kuonana na Rais,ambapo zitakuwa na mapambano mbali mbali,katika kukuza ushikiano wa pamoja
Wanamichezo wa Timu za Ikulu ya Zanzibar na Dar es Salaam wakimsikiliza Rais wa Zanzibar Dk ALi Mohamed Shein,akiwaaidhi walipofika Ikulu Zanzibar jana
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na wanamichezo wa Timu za Ikulu ya Zanzibar na Ikulu ya Dar es Salaam,wakati timu hizo zilipofika Ikulu Mjini Zanzibar kuonana na Rais,ambapo zitakuwa na mapambano mbali mbali,katika kukuza ushikiano wa pamoja.
Wanamichezo wa Timu za Ikulu ya Zanzibar na Dar es Salaam wakimsikiliza Rais wa Zanzibar Dk ALi Mohamed Shein,akiwaaidhi walipofika Ikulu Zanzibar jana
Picha na Ramadhan Othman, Ikulu
DCEA YATUMA UJUMBE MZITO KWA WANAOENDLEA KUJIHUSISHA NA BIASHARA YA DAWA ZA
KULEVYA,YATOA KAULI HII…
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA)imetuma ujumbe
kuwaambia wale ambao bado wanaendelea kufanya biashara...
27 minutes ago
Kaka asalam alaikum heshima yako.pole za majukumu.
ReplyDeletehongeara kwa kazi nzuri ya kutuhabarisha yanayojiri zanzibar na vitongoji vyake.
Mimi ni mwanablog pia ni mfuatiliaji wa blog yako naomba msaada wako unipe link hapo kwako kwenye BLOG NA TOVUTI NYENGINE ili nami jamii ipate kunifahamu na kutokana na kile nachokifanya.nami pia ntaku-link hapa kwangu.
Naimani kaka utafanya hivyo nakutakia kila la heri mola akubariki,asante.
Nitumie email kwenye othmanmaulid@gmail.com
ReplyDelete