MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad akizungumza na Viongozi wa juu wa Benki ya Biashara ya Kenya (KCB) walipofika Ofisini kwake Migombani Zanzibar.Kulia Meneja wa Tawi la KCB Zanzibar, Mawese Mmbaga na kushoto Abdul Mshangama.(Picha na Salimin Said )
TARI Naliendele yashauri wakulima wa korosho kufuata hatua hizi kuleta tija
uzalishaji wa korosho nchini
-
Na Anne Robi, Mtwara
WATAALAMU wa kilimo cha korosho nchini wamewaasa wakulima kuanza kuandaa
mashamba yao kwa kufuata hatua kuu tatu na muhimu katika kul...
6 hours ago
0 Comments