MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad akizungumza na Viongozi wa juu wa Benki ya Biashara ya Kenya (KCB) walipofika Ofisini kwake Migombani Zanzibar.Kulia Meneja wa Tawi la KCB Zanzibar, Mawese Mmbaga na kushoto Abdul Mshangama.(Picha na Salimin Said )
DKT. MWAMBA ATEMBELEA JENGO JIPYA LA OFISI ZA WIZARA YA FEDHA,ATOA NENO.
-
Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, ametembelea Jengo
jipya la Ofisi za Wizara ya Fedha, lililopo Mji...
18 minutes ago
0 Comments