Habari za Punde

MAMA SHEIN AFUTARISHA WATOTO YATIMA KIJIJI CHA SOS MOMBASA.


 MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein akisalimiana na  Walezi wa nyumba ya Watoto wa Kijiji cha SOS  Mombasa Zanzibar.

 Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein akijumuika na Watoto wa Kijiji cha SOS katika futari aliowaandaliwa watoto hao.  

 MKE wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif  Iddi akijumuika na Watoto wa Kjiji cha SOS katika futari uiliondaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein.   

 WATOTO wa Kijiji cha SOS  Mombasa wakipata futari iliondaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar  Mama Mwanamwema Shein.wakiwa ksatika viwanja vya kijiji hicho.  

 WATOTO wa Kijiji cha SOS Mombasa wakipata futari iliyoandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein.wakiwa ksatika viwanja vya kijiji hicho.



 HIVI ndivyo ilivyokuwa kwa watoto wa SOS wakipata  futari iliyoandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar kwa ajili yao.


 WATOTO wa SOS wakijichana kwa mahanjumati kijijini kwao

MMOJA wa Mtoto anayeishi katika Nyumba ya Watoto SOS  akisoma risala yao kwa niaba ya watoto wenzake baada ya kumaliza kufutari, kutowa shukrani zao kwa Mke wa Rais wa Zanzibar, kwa kuwaandalia futari hiyo  katika makaazi yao na kumuomba  kuendelea  na utaratibu huo.kwa siku zijazo katika mwezi wa Ramadhani.      

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.